Wednesday 7 August 2013

NYUKI NA VIJANA WA KITANZANIA TWAWEZA ONDOA TATIZO LA AJIRA TANZANIA

Mzinga wa nyuki ni mahali au nafasi ambako kundi la nyuki inakaa pamoja na nsega. Porini nyuki wanatafuta tu shimo lolote au pango na kujenga nsega ndani yake. Baada ya kujua faida za asali watu wameanza kutengeneza mizinga ya nyuki yaani nafasi zinazofaa ili kuvuta nyuki waingie. Namna ya mzinga wa kidesturi katika Afrika ni nusu mbili za kipande cha mgogo kombe zinazofungwa kwa kamba na kuacha nafasi katikati. Nyuki wanaotafuta nafasi wanapenda kuingia na kuanzisha kundi jipya mle. Tatizo ni mavuno ya asali maana yake ni lazima kufungua mzinga wote na tokeo lake pamoja na mavuno mara nyingi ni kuharibu kundi la nyuki ndani ya mzinga hasa kwa sababu malkia anauawa. Mizinga ya kisasa inaepukana na tatizo hili kwa muundo tofauti wa mzinga. Mzinga huwa sanduku lenye fremu kadhaa ndani yake. Nyuki hutumia fremu kujenga nsega ndani ya fremu. Wakati wowote fremu inaweza kutolewa katika mzinga na kuangaliwa, kutolewa asali na kurudishwa bila kuua nyuki.

Friday 5 July 2013

AJIRA KWA WALIMALIZA KIDATO CHA NNE (FORM 1V)

YOUTH CAMPAIGN NETWORK DISCLOSURE (YUCONED) AJIRA KWA VIJANA WALIOHITIMU KIDATO CHA NNE MKURUGENZI WA YUCONED NDC/VUM/891 ANAYO FURAHA KUWA TANGAZIA VIJANA WOTE KATIKA AJIRA YA KUJIAJIRI BAADA YA KUMALIZA MAFUNZO YA UFUGAJI WA NYUKI ENEO: WILAYA YA NZEGA.SIFA ZA MWOMBAJI: 1.AWE AMEHITIMU KIDATO CHA NNE 2.JINSIA ZOTE 3.UMRI KATI YA MIAKA 18 MPAKA 30 4.ASIEWE ANATUHUMIWA NA MAKOSA YA JINAI 5.AWE MTANZANIA 6.AWE NA JUHUDI NA KUJITUMA ANGALIZO: USAILI UNAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO,TUMA MAOMBI KWENYE ANUANI HAPO CHINI NA UANDIKE NAMBA YA SIMU,JINSIA,ALAMA ULIZO PATA KATIKA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE,UMRI,MAHARI UNAKO TOKA UKILIONA TANGAZO HILI WAJULISHE NA WENGINE WENYE SIFA HIZO. MKKURUGENZI MKUU-YUCONED,P.O BOX 170,NZEGA,TABORA.TANZANIA EMAIL:yuconed@gmail.com TANGAZO HILI LIMETOLEWA NA AFISA HABARI NA MAHUSIANO-YUCONED SIAEL.Z.KIMENANGA 05 JUNE,2013

AJIRA KWA WALIMALIZA KIDATO CHA NNE (FORM 1V)

YOUTH CAMPAIGN NETWORK DISCLOSURE (YUCONED) AJIRA KWA VIJANA WALIOHITIMU KIDATO CHA NNE MKURUGENZI WA YUCONED NDC/VUM/891 ANAYO FURAHA KUWA TANGAZIA VIJANA WOTE KATIKA AJIRA YA KUJIAJIRI BAADA YA KUMALIZA MAFUNZO YA UFUGAJI WA NYUKI ENEO: WILAYA YA NZEGA.SIFA ZA MWOMBAJI: 1.AWE AMEHITIMU KIDATO CHA NNE 2.JINSIA ZOTE 3.UMRI KATI YA MIAKA 18 MPAKA 30 4.ASIEWE ANATUHUMIWA NA MAKOSA YA JINAI 5.AWE MTANZANIA 6.AWE NA JUHUDI NA KUJITUMA ANGALIZO: USAILI UNAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO,TUMA MAOMBI KWENYE ANUANI HAPO CHINI NA UANDIKE NAMBA YA SIMU,JINSIA,ALAMA ULIZO PATA KATIKA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE,UMRI,MAHARI UNAKO TOKA UKILIONA TANGAZO HILI WAJULISHE NA WENGINE WENYE SIFA HIZO. MKKURUGENZI MKUU-YUCONED,P.O BOX 170,NZEGA,TABORA.TANZANIA EMAIL:yuconed@gmail.com TANGAZO HILI LIMETOLEWA NA AFISA HABARI NA MAHUSIANO-YUCONED SIAEL.Z.KIMENANGA 05 JUNE,2013

MATOKEO YA UCHAGUZI YOUTH CAMPAIGN NETWORK DISCLOSURE(YUCONED) LEO TANZANIA

YOUTH CAMPAIGN NETWORK DISCLOSURE (YUCONED)NDC/VUM/891 MATOKEO YA UCHAGUZI/UTEUZI WA YOUTH CAMPAIGN NETWORK DISCLOSURE (YUCONED) GEOFREY E. MWAKANYAMALE-MKURUGENZI MKUU GODSON P. MOSHY-MHASIBU MKUU LAWRANCE TEMBA-AFISA MIPANGO NA MIRADI LUCIANA NYONI-MKAGUZI WA FEDHA SIAEL KIMENANGA-AFISA HABARI NA MAHUSIANO MATOKEO FAIDA-AFISA MIRADI IMTOLEWA NA OFISI YA MKURUGENZI -YUCONED 05 JUNE,2013

Monday 27 May 2013

VIJANA WANATEMBEA TANZANIA




  1. Maandalizi ya eneo la maonyesho ya kila mwaka ya Utalii ya Karibu yameanza kushika hatamu kwenye viwanja vya Magereza, nje kidogo ya jiji la Arusha. Maonyesho hayo ambayo yataanza rasmi tarehe 31 Mei 2013 yanatarajiwa kuwaweka pamoja wadau mbalimbali wa sekta ya Utalii toka ndani na nje ya nchi kwa muda wa siku tatu. Post hii inakuletea picha kadhaa zikionyesha maandalizi ya awali ya mabanda ya maonesho yakiwa yanaendelea kwenye viwanja vya Magereza.


    Msimamizi wa eneo la Maonesho Bw. Hassan (kushoto) akibadilishana mawazo na mmoja wa waratibu wa maonesho haya Bw. Sam Diah(kulia)
    Acting CEO wa TATOTZ Bw Cyril (kulia) akiteta jambo na Mratibu wa Karibu Fair 2013

    Wamama na wadada hawapo nyuma, nao wapo ulingoni kuweka sawa mambo kwa ajili ya maandalizi ya Karibu fair 2013. Picha zote kwa hisani ya mdau Sam Diah wa Arusha
    0

    Add a comment



  2. 0

    Add a comment



  3. Horombo

    Horombo

    Horombo

    Horombo

    Horombo

    Horombo
    0

    Add a comment



  4. Ni Taswira zilizopigwa Mwezi Januari Mwishoni mwaka huu ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi. Unapokuwa umelala ndani ya Hifadhi unakuwa na fursa ya kuweza kuanza matembezi mapema kidogo tofauti na yule aliyelala nje ya Hifadhi ambae atalazimika kusubiri hadi pale ambapo geti la hifadhi litakapofunguliwa na kumruhusu.

    0

    Add a comment



  5.  Ni Taswira ambazo Mdau Jumaa wa River Spring  (Lushoto) amezitupia kwenye wall yake ya Facebook zikionyesha maeneo kadhaa ya mji wa Singida na baadhi ya mambo ambayo wengine hatuyajui kuhusu Singida. Mdau Jumaa alikuwa huko siku kadhaa na hapo juu ni picha aliyoipiga mida ya jioni akiwa pembezoni ya Ziwa Singida ambalo lipo mkoani hapo. Picha hii ilipigwa mida ya jioni na Ziwa likionekana kwa Nyuma.

    Ziwa Singida Likionekana kwa mbali



    Mitaa ya kati ndani ya Singida Mjini



    tembelea FB page ya River Sping ConneXions "Lushoto" 
    au Blog ya Amazing Lushoto
    upate kujua mengi kuhusu project hii ya mdau Jumaa
    0

    Add a comment



  6. Moja ya jambo ambalo inakubidi ujiandae kiakili ni kuwa na ujasiri wa kukaa siku zote za safari yako bila kuoga. Ukweli ni kwamba hali ya hewa ya huku hairuhusu hata mtu kufikiria kutoa nguo na kuanza kujimwagia maji. Aidha yatakuwa ya moto sana na mwishowe yakuletee madhara ya joto, au yatakuwa yabaridi yakuletee madhara ya baridi. Unaweza kubahatisha kwa maeneo ya Mandara lakini ukiingia anga za Horombo kwenda mbele basi sahau kabisa. Haimaanishi zoezi zima la usafi wa mwili linawekwa kiporo, la hasha! Kila siku kunapokucha unaletewa bakuli yenye maji ya uvuguvugu kama zinavyoonekana kwenye  picha ya juu. Hapo kila mmoja ana bakuli ya kwake. Wewe mgeni ndio unakuwa na uhuru wa ni namna gani unaweza kuyatua maji hayo kusafishia mwili. Kwa wengi maji huwa ya kunawia uso au kunawia sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia kitaulo kidogo. Kwa usafi wa kinywa unaletewa maji kwenye chupa yako ya kunywea kwa ajili ya kupigia mswaki. Vyumba vya mabafu vipo sambamba na maliwato lakini sidhani kama utamuona mtu akiingia na ndoo ya kuogea huko.

    Mdau  akiendelea na usafi asubuhi moja kwenye banda letu tulipokuwa katika kituo cha Horombo
    0

    Add a comment



  7. Saadani National Park - where nature and beach meet
    Hii ni combo ambayo ina vyumba vinne, kila kimoja self contained pamoja na Sebule moja ambayo ni shared (inayoonekana pichani). Kuna kuwa na jiko ambapo kama mgeni ataamua kujipikia mwenyewe (au aje na mpishi wake) basi nae anakuwa na ofisi yake. Luninga hapo ni full DSTV
    Saadani National Park - where nature and beach meet
    Mdau Abdul Kimanga wa Sherehe yetu Blog alikuwa huko kwa Vakesheni yake mwezi Desemba mwaka jana. Wasiliana na tour operator wako au aliye karibu nawe ili akupe mpango mzima wa kufika na kufurahia mandhari ya Saadani. Kwa Mdau uliye Dar, Saadani ndio Hifadhi iliyo karibu kabisa na jiji la Dar kwa kupitia njia ya Bagamoyo.
    0

    Add a comment



  8. Sio njia zote za kupandia mlima Kilimanjaro ambazo mgeni hushukia pale alipoanzia, Zipo baadhi ambazo mgeni hushukia njia nyingine. Rongai, Umbwe ni njia ambazo zina utaratibu huu. Wa Umbwe hushukia njia ya Mweka wakati wale wa njia ya Rongai hushukia njia ya Marangu. Kwa kuwa Mabanda ya njia ya Marangu ni kwa ajili ya wale wanaoitumia njia ya Marangu, wanaotoka Rongai wao hulala kwenye mahema walioanza nayo safari. Hapa ni kituo cha Mandara na haya mahema ni ya wapandaji wa Mlima Kilimanjaro walioanzia safari yao kwenye geti la Rongai na hapa (Horombo) wakiwa njiani kurudi chini kupitia njia ya Marangu.
    Horombo Hut - Marangu route
    Hapo kuna mahema ya Kulala (madogo) na kuna mahema ya Mesi (chakula). Wapishi na wagumu wao nao wanalala kwenye mahema yao.

    Horombo Hut - Marangu route
    Hili lilikuwa kundi jingine likiwa limeshajenga kambi yao.

    Horombo Hut - Marangu route
    Vifaa vyao vyote hubebwa na Wagumu wao wakiwa safarini.

    Horombo Hut - Marangu route
    Siku hii Ukungu na baridi vilishika hatamu si mchezo. Sisi tuliokuwa tunalala kwenye mabanda tuliisikia baridi kisawasawa. Sijui hawa ndugu zetu waliolala kwenye haya mahema walikuwa na hali gani usiku mnene ulipotinga. Aina ya malazi unayoyapata ukiwa unapanda mlima Kilimanjaro iwe ni kigezo cha msingi kwenye uchaguzi wa njia ya kupandia Mlima huu.
    0

    Add a comment



  9. Hili lilikuwa ni kundi la wanafunzi wa shule moja tokea Arusha ambao nao walikuwa wanapanda mlima Kilimanjaro. Tulianza nao kupanda Mlima siku moja kwa njia ya Marangu lakini wao walikuwa na mpango tofauti kidogo na tuliokuwa nao sisi. Sisi tulipanga kukaa kituo cha Horombo kwa siku mbili ili mwili uweze kuzoea mazingira ya juu, hawa wanafunzi wao walikuwa na mpango wa kwenda kufanya acclimatisation kwenye kituo cha Kibo. Hivyo tulipofika Horombo, siku iliyofuata wao waliondoka kuelekea Kibo na kutuacha sisi kituo cha Horombo tukifanya acclimatisation kwa kwenda Zebra rock na siku iliyofuatia kuendelea na safari yetu kwenda Kibo. Kusema ukweli, mpango wao ulikuwa mzuri na faida kwao kwani asilimia kubwa ya hawa wanafunzi hawa waliweza kufika kilele cha Uhuru. 
    Kundi hili lilinikumbusha mbali kidogo, lilinikumbusha kipindi nasoma sekondari ambapo shuleni kulikuwa na utaratibu wa kwenda kupanda mlima Kilimanjaro wakati wa zile likizo fupi za wiki moja mwezi wa tisa. Mara kadhaa nilijaribu kuomba ruhusa na ufadhili kwa wazazi lakini mara zote maombi yangu yaligonga ukuta kwa sababu kadha wa kadha. 
    Picha juu ni wanafunzi hao wakipiga picha ya pamoja kwenye kituo cha Horombo kabla hawajaondoka kuelekea kituo cha Kibo.
    0

    Add a comment



  10.  Ni Kipita shoto maarufu ndani ya jiji la Mwanza kijulikanacho kama Sanamu ya Samaki. Hapo siku za sikukuu huwa panajaa watu ambao huenda kupumzika huku wengi wakiwa na nia ya kupiga picha na sanamu ya Samaki iliyopo kwenye kipita shoto hiki. Picha hii niliipiga siku ya sikukuu ya Pasaka mwaka huu (2013).


    0

    Add a comment

Loading

MATOKEO KIDATO CHA NNE/SITA


Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
  1. 5th January 2006
    Views:
    115,222

Forum: MATOKEO KIDATO CHA NNE/SITA

Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) Results. Pata matokeo yote hapa.
Page 1 of 2 12 LastLast
Topics 1 to 50 of 100
    • Replies: 5
    • Views: 396
    Yesterday, 07:37 Go to last post
  1. matoke ya kidato nne

    Started by erick joachim, 11th March 2013 18:43
    • Replies: 9
    • Views: 2,001
    Yesterday, 00:03 Go to last post
  2. Tetesi: Matokeo ya kidato cha sita 2013

    Started by mohammad_othar, 28th April 2013 22:12
    1 2 3
    • Replies: 52
    • Views: 8,620
    25th May 2013, 18:54 Go to last post
  3. Matokeo kidato cha sita 2013

    Started by Zero Brain, 26th April 2013 15:15
    1 2
    • Replies: 24
    • Views: 4,157
    22nd May 2013, 16:01 Go to last post
    • Replies: 2
    • Views: 257
    19th May 2013, 12:51 Go to last post
  4. Matokeo

    Started by Amazes, 17th May 2013 21:22
    • Replies: 2
    • Views: 252
    18th May 2013, 11:35 Go to last post
  5. Form 6 results.

    Started by Nasei Edwards, 16th May 2013 20:15
    • Replies: 10
    • Views: 527
    18th May 2013, 08:37 Go to last post
  6. Matokeo ya Kidato cha sita ni hivi karibuni

    Started by 'The Choosen', 15th May 2013 14:32
    • Replies: 2
    • Views: 692
    16th May 2013, 02:59 Go to last post
  7. Process mpaka kufika mkuu wa mkoa

    Started by Nguza junior, 13th May 2013 18:47
    • Replies: 2
    • Views: 134
    13th May 2013, 19:30 Go to last post
    • Replies: 22
    • Views: 3,491
    12th May 2013, 10:52 Go to last post
    • Replies: 24
    • Views: 1,067
    7th May 2013, 14:29 Go to last post
  8. Sasa na form 6 itakuaje

    Started by mohammad_othar, 5th May 2013 12:38
    • Replies: 2
    • Views: 398
    6th May 2013, 01:44 Go to last post
  9. Matokeo kidato cha nne 2009

    Started by A-town, 21st March 2013 22:10
    • Replies: 2
    • Views: 752
    3rd May 2013, 15:15 Go to last post
  10. 'Form Six' kama 'Form Four'

    Started by 'The Choosen', 25th April 2013 14:54
    • Replies: 10
    • Views: 1,283
    30th April 2013, 08:59 Go to last post
  11. Tetesi: mwenye kujua.

    Started by jwhizzy, 21st April 2013 14:47
    • Replies: 7
    • Views: 579
    29th April 2013, 22:05 Go to last post
  12. Msaada wenu ndugu zangu.....

    Started by Said Seif, 11th April 2013 11:50
    • Replies: 1
    • Views: 334
    28th April 2013, 08:39 Go to last post
  13. Never use Quotations

    Started by Pascal Ndege, 8th February 2013 09:08
    • Replies: 4
    • Views: 518
    25th April 2013, 20:25 Go to last post
  14. Wana JF msaada wenu...

    Started by Said Seif, 14th April 2013 11:55
    • Replies: 1
    • Views: 345
    14th April 2013, 12:34 Go to last post
  15. hellow

    Started by ARV, 12th April 2013 13:28
    • Replies: 3
    • Views: 270
    12th April 2013, 20:20 Go to last post
  16. Msaada wenu tafadhari...

    Started by Said Seif, 9th April 2013 08:37
    • Replies: 3
    • Views: 234
    9th April 2013, 09:52 Go to last post
  17. Kuhusu mtaaala ya elimu

    Started by karia peter, 2nd April 2013 11:54
    • Replies: 0
    • Views: 337
    2nd April 2013, 11:54 Go to last post
  18. Anaye jua sehemu nzuri tafadhari

    Started by eliezar mlwafu, 19th March 2013 13:25
    • Replies: 2
    • Views: 325
    19th March 2013, 18:39 Go to last post
    • Replies: 2
    • Views: 2,209
    16th March 2013, 11:00 Go to last post
  19. Post Msaada jamani nimeumiza kichwa sana

    Started by Forst benaldo, 20th February 2013 12:42
    • Replies: 4
    • Views: 563
    12th March 2013, 15:27 Go to last post
  20. VIPAJI maalum si lolote,si chochote

    Started by Petro E. Mselewa, 18th February 2013 15:13
    1 2 3 4 5 ... 8
    • Replies: 150
    • Views: 3,916
    9th March 2013, 19:08 Go to last post
  21. Matokeo ya mawenzi high school 2003

    Started by The Hunter, 25th February 2013 17:10
    • Replies: 1
    • Views: 534
    8th March 2013, 07:40 Go to last post
  22. Matokeo kidato cha sita 2012 yametoka

    Started by Kinyungu, 27th March 2012 13:13
    1 2 3 4 5
    • Replies: 86
    • Views: 36,009
    5th March 2013, 10:23 Go to last post
  23. Hili nalo limefanywa na serikali ya ccm!

    Started by Gaston Mbilinyi, 1st March 2013 21:12
    • Replies: 0
    • Views: 321
    1st March 2013, 21:12 Go to last post
  24. yametoka sasa mlikua mnayataka tuambieni mmpata dv gan?

    Started by sanycide, 18th February 2013 15:21
    • Replies: 5
    • Views: 927
    24th February 2013, 08:34 Go to last post
  25. Naomba matokeo ya kidato cha sita 2007

    Started by matyhans, 21st February 2013 03:23
    • Replies: 10
    • Views: 636
    22nd February 2013, 09:05 Go to last post
  26. naomba matokeo ya kidato cha sita 2008

    Started by matyhans, 21st February 2013 20:30
    • Replies: 0
    • Views: 457
    21st February 2013, 20:30 Go to last post
    • Replies: 5
    • Views: 706
    19th February 2013, 08:10 Go to last post
  27. Post Private: Pugu centre ,form four matokeo

    Started by ndiyomkuusana, 18th February 2013 14:36
    • Replies: 3
    • Views: 908
    18th February 2013, 14:48 Go to last post
  28. Post Perfect vision: Matokeo f4 2012

    Started by ndiyomkuusana, 18th February 2013 14:43
    • Replies: 0
    • Views: 1,400
    18th February 2013, 14:43 Go to last post
    • Replies: 591
    • Views: 77,916
    18th February 2013, 14:01 Go to last post
  29. Maisha magumu na elimu bila kukaza aaa hutoki

    Started by Blaros kida, 30th January 2013 05:40
    • Replies: 9
    • Views: 746
    17th February 2013, 18:10 Go to last post
    • Replies: 29
    • Views: 2,310
    8th February 2013, 10:36 Go to last post
  30. Matokeo hayoo...watu kimyaaaaa!!!!!!

    Started by Kashaijabutege, 9th February 2012 14:50
    • Replies: 6
    • Views: 2,338
    8th February 2013, 10:15 Go to last post
  31. Matokeo ya kidato cha nne yanatoka lini?

    Started by kokudo, 7th January 2011 14:02
    1 2
    • Replies: 21
    • Views: 19,234
    6th February 2013, 16:40 Go to last post
  32. Matokeo ya Kidato cha pili-2011

    Started by Msambaa mkweli, 2nd January 2012 17:15
    • Replies: 8
    • Views: 11,806
    6th February 2013, 13:29 Go to last post
  33. Wasiwasi wa nini?

    Started by FrankEM, 4th February 2013 14:11
    • Replies: 0
    • Views: 411
    4th February 2013, 14:11 Go to last post
  34. Short courses for 2013

    Started by Josephat Peter, 27th January 2013 09:53
    • Replies: 0
    • Views: 609
    27th January 2013, 09:53 Go to last post
    • Replies: 8
    • Views: 4,101
    13th January 2013, 14:11 Go to last post
  35. Msaada wana JF

    Started by ethicx, 28th December 2012 19:49
    • Replies: 1
    • Views: 413
    28th December 2012, 19:52 Go to last post
  36. Msaada Wa Kueleweshwa

    Started by JACKSON WAMBURA, 26th December 2012 00:14
    • Replies: 1
    • Views: 516
    26th December 2012, 00:37 Go to last post
  37. Aisee! Hii wizara!.

    Started by Kabodot, 16th October 2012 01:13
    • Replies: 0
    • Views: 653
    16th October 2012, 01:13 Go to last post
  38. Thumbs up Elimu uganda

    Started by HUSSEIN K, 12th October 2012 00:48
    • Replies: 0
    • Views: 690
    12th October 2012, 00:48 Go to last post
  39. Matokeo ya walochaguliwa kujiunga vyuo vya ualimu

    Started by Vanpopeye, 29th July 2011 07:17
    • Replies: 4
    • Views: 7,712
    6th August 2012, 09:35 Go to last post
  40. Uwajibikaji wa wanawake

    Started by Angel mwalyego, 25th June 2012 08:47
    • Replies: 0
    • Views: 802
    25th June 2012, 08:47 Go to last post
    • Replies: 2
    • Views: 1,706
    11th May 2012, 11:55 Go to last post

Topic Display Options

Order threads in...

Who are WE?

JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

You are always welcome! Read more...

Where are we?

We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

For anything related to this site please Contact us.

Contact us now...

DISCLAIMER

JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

Read more...

Forum Rules

JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

You MUST read them and comply accordingly. Read more...

Privacy Policy

We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

Read our Privacy Policy. Proceed here...